TANZANIA NA BURUNDI ZAENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA KILIMO-WAZIRI MKENDA

. Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Burundi Tanzania ina uhusiano mzuri na majirani wake na katika miaka ya hivi karibuni imekuwa mshiriki kwa ukamilifu katika juhudi za kuhimiza usuluhilishi wa migogoro kwa njia ya amani. Tanzania ni mwanachama wa vikundi vya kimataifa na kikanda pia inashiriki kwa dhati katika ushirikiano wa baina ya nchi na